N'na Kwetu
eBook - PDF

N'na Kwetu

Sauti ya Mgeni Ugenini

  1. Swahili
  2. PDF
  3. Available on iOS & Android
eBook - PDF

N'na Kwetu

Sauti ya Mgeni Ugenini

About this book

Hii ni riwaya ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya inayozu-ngumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa, ya kud-hibiti madawa ya kulevya na ugaidi wa kimataifa, 'World Drugs Enforcement Commission' (WODEC); na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko. Inaelezea, kwa kinagaubaga, jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14; na kuzuia shehena (kubwa) ya madawa ya kulevya na malighai ya nyukilia: kwenda Afrika, Asia, Amerika, Ulaya - na kung'oa mizizi ya shirika la CS-14, lote, katika nchi za Hemisifia ya Magharibi - na duniani kwa jumla. Ukisoma kitabu hiki utajiuliza, "mwandishi huyu aliwezaje kusuka riwaya inayoufanya moyo kukuenda mbio, hata kukulazimu wakati mwingine kukiweka kitabu kando ili urudishe pumzi! Ukishakianza tu, hutakiacha kabla ya kujua mwisho wa vita hi kali ya kimataifa. Na kivutio kikubwa ni kuwa kiongozi wa vita hiyo kwa upande wa Umoja wa Mataifa ni Murphy Ambilikile, Mtanzania - Willy Gamba wa Karne ya 21. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake cha kimataifa katika Tanzania. Lengo lake si tu kukata kiu ya wapenzi wa riwaya za kipelelezi na kufufua mwamko wa usomaji wa vitabu; ni kuleta, hali kadhalika, ufahamu na burudani ya kimataifa kwa wasomaji wa riwaya za kiswahili.

Frequently asked questions

Yes, you can cancel anytime from the Subscription tab in your account settings on the Perlego website. Your subscription will stay active until the end of your current billing period. Learn how to cancel your subscription.
At the moment all of our mobile-responsive ePub books are available to download via the app. Most of our PDFs are also available to download and we're working on making the final remaining ones downloadable now. Learn more here.
Perlego offers two plans: Essential and Complete
  • Essential is ideal for learners and professionals who enjoy exploring a wide range of subjects. Access the Essential Library with 800,000+ trusted titles and best-sellers across business, personal growth, and the humanities. Includes unlimited reading time and Standard Read Aloud voice.
  • Complete: Perfect for advanced learners and researchers needing full, unrestricted access. Unlock 1.4M+ books across hundreds of subjects, including academic and specialized titles. The Complete Plan also includes advanced features like Premium Read Aloud and Research Assistant.
Both plans are available with monthly, semester, or annual billing cycles.
We are an online textbook subscription service, where you can get access to an entire online library for less than the price of a single book per month. With over 1 million books across 1000+ topics, we’ve got you covered! Learn more here.
Look out for the read-aloud symbol on your next book to see if you can listen to it. The read-aloud tool reads text aloud for you, highlighting the text as it is being read. You can pause it, speed it up and slow it down. Learn more here.
Yes! You can use the Perlego app on both iOS or Android devices to read anytime, anywhere — even offline. Perfect for commutes or when you’re on the go.
Please note we cannot support devices running on iOS 13 and Android 7 or earlier. Learn more about using the app.
Yes, you can access N'na Kwetu by Mohammed Khelef Ghassani in PDF and/or ePUB format, as well as other popular books in Literature & African Poetry. We have over one million books available in our catalogue for you to explore.

Information

Table of contents

  1. Jalada
  2. Ukurasa wa kichwa
  3. Ukurasa wa hakimiliki
  4. Tabaruku
  5. Neno la Shukrani
  6. Yaliyomo
  7. Dibaji
  8. N’na Kwetu
  9. Mengi Mno
  10. Kwa Jina la Nchi Yangu
  11. Inaitwa Zanzibar
  12. Bwana Katwaa
  13. Lipokee Chozi Hili
  14. Nakumbuka
  15. Zinjibari ya Njozini
  16. Ishachanjauka
  17. Kama Wewe
  18. Naja Kwetu
  19. Sina Budi Kwenda
  20. Yatakwisha
  21. Tunao Huu Tunao
  22. Sauti ya Nchi Yangu
  23. Usinifanye Yatima
  24. Kitatange
  25. Kumbe Siye
  26. Sote Tuna Mwisho Wetu
  27. Habibi Zenji
  28. Nitaachaje Kulia?
  29. Nchi Yangu Msibani
  30. Ndoto Zaruka
  31. Kama Huwezi Ulezi
  32. Salamu Kwa Mama
  33. Alhamdulillah!
  34. Mambo Hwenda Yakirudi
  35. Lau Wajuwa Najuwa
  36. Tetere Nakulaumu
  37. Machozi Mwaika
  38. Lau Huna, Ndio Huna
  39. Nifunguwe
  40. Nafsi Iloatilika
  41. Dishi Halishi Mashizi
  42. Nimekuwa Siku Hizi
  43. Tu Waja Wa’yo Dunia
  44. Ukicha Waja Hutendi
  45. Ya Wapi?
  46. Upatwe Unikumbuke!
  47. Ulimwengu Hau Raha
  48. Lisharudi Popobawa
  49. Upweke Una Mbeleko
  50. Hailipiki Fadhila
  51. Kinusu Changu Cha Moyo
  52. Kutowa na Kupewa
  53. Mwana Huu ni Usia
  54. Uwe na Stahamala
  55. Ndivyo Nilivyo
  56. Kipya Kiwapo Kidonda
  57. Hiyari Isoradulika
  58. Maisha Mapenzi
  59. Khadhira Wangu Nyamaza!
  60. Tutafika
  61. Mwanywaje Mchuzi Mwanzo?
  62. Jua Kali La Laili
  63. Tausi U Kifungoni
  64. Hakuchokeshi Kupata
  65. Pendo Hashuo
  66. Peya Viatu Viwili
  67. Nchingwa Ndimingwa
  68. Nyumbani Oo Nyumbani
  69. Kalamu Zirande Mote
  70. Mwenye Gimba
  71. ‘Sichame Ago
  72. Mimi Wako
  73. Kioja sikihitaji
  74. Wezeka
  75. Ndivyo Walivyo
  76. Mapenzi Nikupendayo
  77. Mla Leo Mla Nini?
  78. Lingekuwa la Kujuwa
  79. Mwamvalia Nani?
  80. Wanangu Nisameheni
  81. Siharibu Kisu Changu
  82. Kulikumba Jini
  83. U Wapi Furaha?
  84. Mengine Siyaulize
  85. Hukumu ya Mja
  86. Mambo Yakiharibika
  87. Nacha Kuja Kugeleka
  88. Wakuzingao
  89. Kipande cha Kura
  90. Mifupa ya Muhajirina
  91. Mimi Jani
  92. Udongo Uli Umaji
  93. Kujenga Nyumba Ya Mbali
  94. Munipendao ni Nyiye
  95. Jalada